Wednesday, March 28, 2012

Ndoa ya Sphumele Mbambo mmoja wa wanakwaya wa Joyous Celebration


Sphumele Mbambo ni mmoja kati ya wanamuziki mahiri wa Joyous Cerebration,na hapa unaweza kujionena siku maalumu katika Maisha yake alipokuwa akifunga ndoa huku akipata sapoti kubwa kutoka kwa wanakwaya wenzake wa Joyous.

Sphumele Mbambo akiwa Jukwaani

Sphumele Mbamboakiwa na Mumewe

Mmoja wa viongozi na muanzilishi wa Joyous Celebration Jabu Hlongwane kushoto, akiwa na maharusi.  

Maharusi wakiingia kweye gari maalumu




No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...